Himid Mao aipongeza Tanzanite Queens Kombe la Dunia

Mwanaspoti
Published: Sep 11, 2026 07:58:48 EAT   |  Sports

KIUNGO wa Azam FC, Himid Mao amewapongeza wachezaji wa timu ya Taifa ya wanawake U-20, Tanzanite Queens, kwa kuifikisha Tanzania kwenye hatua ya Kombe la Dunia la vijana, Poland.