Hersi atangaza Yanga kumuuza Okello

Mwanaspoti
Published: Aug 15, 2026 18:15:28 EAT   |  Sports

Yanga hatimaye imethibitisha rasmi kwamba imemuuza kiungo wake Allan Okello ambaye sasa atakwenda nchini Morocco huku pia ikifahamika kuwa Ile Ngao iliyoibiwa imerudishwa.