Geita Gold yaibania Azam dakika za jioni!

Mwanaspoti
Published: Aug 28, 2026 18:59:59 EAT   |  Sports

MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC wameshindwa kutamba katika mechi ya mzunguko wa nne ya Ligi Kuu Bara, baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Geita Gold, huku teknolojia ya Football Video Support (FVS), ikiamua baadhi ya matukio.