Geita Gold yaibania Azam dakika za jioni!
MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC wameshindwa kutamba katika mechi ya mzunguko wa nne ya Ligi Kuu Bara, baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Geita Gold, huku teknolojia ya Football Video Support (FVS), ikiamua baadhi ya matukio.