Fabrizio Romano atambulisha jezi mpya za Yanga CAF
YANGA SC leo Septemba 2, 2026 imetambulisha rasmi jezi zake zitakazotumia katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2026-2027, huku zoezi hilo likifanyika kwa namna ya kipekee baada ya kuongozwa na mwandishi maarufu wa habari za michezo kutoka Italia, Fabrizio Romano.