Diarra amaliza utata Yanga

Mwanaspoti
Published: Jun 06, 2025 14:54:57 EAT   |  Sports

KIPA namba moja wa Yanga, Diarra Djigui yupo kambi ya timu ya taifa ya Mali, lakini kabla ya kuondoka nchini amemaliza utata uliokuwa ukiwavuruga mashabiki wa klabu hiyo.