Diarra amaliza utata Yanga

KIPA namba moja wa Yanga, Diarra Djigui yupo kambi ya timu ya taifa ya Mali, lakini kabla ya kuondoka nchini amemaliza utata uliokuwa ukiwavuruga mashabiki wa klabu hiyo.
KIPA namba moja wa Yanga, Diarra Djigui yupo kambi ya timu ya taifa ya Mali, lakini kabla ya kuondoka nchini amemaliza utata uliokuwa ukiwavuruga mashabiki wa klabu hiyo.