Depu akoleza moto, akiipa Yanga pointi tatu

Mwanaspoti
Published: Feb 22, 2026 19:00:09 EAT   |  General

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Laurindo Dilson Maria Aurelio 'Depu' ameendeleza makali katika Ligi Kuu Bara, baada ya kuifungia bao moja kwenye ushindi wa wa 1-0 dhidi ya Namungo FC.