Dakika tisa za Mtasingwa dhidi ya Mamelodi Sundowns

Mwanaspoti
Published: Aug 16, 2026 12:17:58 EAT   |  Sports

KIUNGO Mtanzania, Adolf Mtasingwa ameendelea kupata nafasi kwenye kikosi cha Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini baada ya Agosti 15 kucheza kwa dakika tisa akiingia kutokea benchi.