Coastal Union, TRA United zashindwa kutambiana Mkwakwani

Mwanaspoti
Published: Aug 24, 2026 19:37:45 EAT   |  Sports

TIMU za Coastal Union na TRA United, zimeshindwa kutambiana katika mechi kali na ya kuvutia ya raundi ya tatu ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2026-2027, baada ya miamba hiyo kutoka sare ya kufungana bao 1-1 kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.