Chipo, Mayanga kazi ipo Sokoine

Mwanaspoti
Published: Jun 12, 2026 09:31:49 EAT   |  Sports

Pamoja na kukiri ugumu wa mechi za ugenini, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar, Yusuph Chipo amesema mchezo dhidi ya Mbeya City kiu yao ni pointi tatu ili kujiimarisha kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara.