Aziz KI apewa Uzi wa Pacome, atangaza vita CAF

Mwanaspoti
Published: Aug 15, 2026 17:57:30 EAT   |  Sports

Yanga imemtambulisha rasmi kiungo Stephanie Aziz KI akirejea klabuni hapo baada ya kutambulishwa rasmi muda mfupi uliopita.