Azam FC yaishusha Yanga ikiichapa Pamba Jiji
AZAM FC imesogea hadi nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Bara na pointi saba ikiishusha Yanga yenye pointi sita, baada ya leo Agosti 23, 2026 kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji.