5000 kuliamsha Nyerere International Marathon

Mwanaspoti
Published: Aug 03, 2025 07:56:53 EAT   |  Sports

WANARIADHa 5000 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajia kuchuana katika mbio za kimataifa za Mwalimu Julius Nyerere zinazotarajia kufanyika jijini Mbeya.